Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Kabwe amewashauri Watanzania kusimamisha shughuli zao kwa dakika moja ifikapo saa 7 mchana leo Septemba 7, 2018 ili kumuombea Mbunge wa Singida Mashariki, Mhe. Tundu Lissu anayepatiwa matibabu nchini Ubelgiji.
Zitto ametoa ushauri huo kupitia ukurasa wake wa Twitter, ikiwa leo ni mwaka mmoja umepita tangu Lissu ashambuliwe kwa risasi jijini Dodoma Septemba 7, 2018 majira ya saa 7 mchana akitokea bungeni kwenda nyumbani kwake Area D.


1 comments:
Write commentsWynn Las Vegas Announces Plans to Expand Live Casino
ReplyWynn 구미 출장샵 Las Vegas announces plans to expand Live Casino 남원 출장안마 Operations, 통영 출장안마 통영 출장안마 Wynn Resorts is planning to expand Live Casino Operations to 제주 출장샵 Nevada,