Zitto awashauri Watanzania wasimamishe shughuli zao kwa dakika moja ifikapo saa 7 mchana

IF YOU ARE 18 YEARS CLICK BELOW TO WATCH AND DOWNLOAD FULL VIDEO

Friday, September 7, 2018

Zitto awashauri Watanzania wasimamishe shughuli zao kwa dakika moja ifikapo saa 7 mchana

Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Kabwe amewashauri Watanzania kusimamisha shughuli zao kwa dakika moja ifikapo saa 7 mchana leo Septemba 7, 2018 ili kumuombea Mbunge wa Singida Mashariki, Mhe. Tundu Lissu anayepatiwa matibabu nchini Ubelgiji.
Zitto ametoa ushauri huo kupitia ukurasa wake wa Twitter, ikiwa leo ni mwaka mmoja umepita tangu Lissu ashambuliwe kwa risasi jijini Dodoma Septemba 7, 2018 majira ya saa 7 mchana akitokea bungeni kwenda nyumbani kwake Area D.
Share :
Facebook Twitter Google+

1 comments:

Write comments
Anonymous
ADMIN

Wynn Las Vegas Announces Plans to Expand Live Casino
Wynn 구미 출장샵 Las Vegas announces plans to expand Live Casino 남원 출장안마 Operations, 통영 출장안마 통영 출장안마 Wynn Resorts is planning to expand Live Casino Operations to 제주 출장샵 Nevada,

Reply
avatar

 

Back To Top